Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:98 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

98 Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui zangu, Kwa maana ninayo sikuzote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

98 Amri yako iko nami daima, yanipa hekima kuliko maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

98 Amri yako iko nami daima, yanipa hekima kuliko maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

98 Amri yako iko nami daima, yanipa hekima kuliko maadui zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

98 Amri zako zimenipa hekima kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

98 Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu, kwa kuwa nimezishika daima.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:98
12 Marejeleo ya Msalaba  

Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Nimeichagua njia ya uaminifu, Na kuziweka hukumu zako mbele yangu.


Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu;


Watu waovu hawaelewi na haki; Bali wamtafutao BWANA huelewa na zote.


Zishikeni basi, mkazitende, maana hii ndiyo hekima yenu na akili zenu, machoni pa mataifa watakaozisikia amri hizi zote, nao watasema, Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na akili.


Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo?


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Naye Daudi akatenda kwa busara katika njia zake zote naye BWANA alikuwa pamoja naye.


Wakati huo wakuu wa Wafilisti wakatokeza; kisha ikawa, kila mara walipotokeza, Daudi alipata ushindi zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli hivyo jina lake likawa na sifa kuu.


Basi Daudi akatoka kwenda kila mahali alikotumwa na Sauli, akatenda kwa akili; Sauli akamweka juu ya watu wa vita; jambo hili likawa jema machoni pa watu wote, na machoni pa watumishi wa Sauli pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo