Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:91 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

91 Kwa hukumu zako vimesimama imara hata leo, Maana vitu vyote ni watumishi wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

91 Kwa amri yako viumbe vyote vipo leo, maana vitu vyote ni watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

91 Kwa amri yako viumbe vyote vipo leo, maana vitu vyote ni watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

91 Kwa amri yako viumbe vyote vipo leo, maana vitu vyote ni watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

91 Sheria zako zinadumu hadi leo, kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

91 Sheria zako zinadumu hadi leo, kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:91
10 Marejeleo ya Msalaba  

Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; aletaye nje jeshi lao kwa hesabu; aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake; hapana moja isiyokuwapo mahali pake.


Naam, mkono wangu umeuweka msingi wa dunia, na mkono wangu wa kulia umezitanda mbingu; niziitapo husimama pamoja.


BWANA asema hivi, Ikiwa agano langu la mchana na usiku sikuliweka imara, ikiwa mimi sikuziamuru kawaida za mbingu na dunia;


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Kwa maana mimi nami ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.


tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.


Walipigana kutoka mbinguni, Nyota katika miendo yao zilipigana na Sisera.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo