Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:89 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

89 Ee BWANA, neno lako lasimama Imara mbinguni hata milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

89 Neno lako, ee Mwenyezi-Mungu, ladumu milele; limethibitika juu mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

89 Neno lako, ee Mwenyezi-Mungu, ladumu milele; limethibitika juu mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

89 Neno lako, ee Mwenyezi-Mungu, ladumu milele; limethibitika juu mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

89 Ee Mwenyezi Mungu, neno lako ni la milele, linasimama imara mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

89 Ee bwana, neno lako ni la milele, linasimama imara mbinguni.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:89
10 Marejeleo ya Msalaba  

Matendo ya mikono yake ni kweli na hukumu, Maagizo yake yote ni amini,


Yamethibitika milele na milele, Yamefanywa kwa uaminifu na haki.


Tokea zamani nimejua kwa shuhuda zako, Ya kuwa umeziweka zikae milele.


Jumla ya neno lako ni kweli, Na kila hukumu ya haki yako ni ya milele.


Maana nimesema, Fadhili zitajengwa milele; Katika mbingu utauthibitisha uaminifu wako.


Majani yakauka, ua lanyauka; Bali neno la Mungu wetu litasimama milele.


Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.


Bali Neno la Bwana hudumu hata milele. Na neno hilo ni neno lile jema lililohubiriwa kwenu.


Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo