Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:86 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

86 Amri zako zote ni za kudumu, Ninateswa bila sababu, nisaidie!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

86 Amri zako zote ni za kuaminika; watu wananitesa bila haki; unisaidie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

86 Amri zako zote ni za kuaminika; watu wananitesa bila haki; unisaidie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

86 Amri zako zote ni za kuaminika; watu wananitesa bila haki; unisaidie!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

86 Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

86 Amri zako zote ni za kuaminika; unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:86
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, Mungu wangu, unisaidie, Uniokoe kulingana na fadhili zako.


Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Umeziagiza shuhuda zako kwa haki, Na kwa uaminifu mwingi.


Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.


Ee BWANA, Wewe U karibu, Na maagizo yako yote ni kweli.


Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.


Ee BWANA, uniponye kutoka kwa adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche.


Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Lakini walio adui zangu bila sababu wana nguvu, Nao wanaonichukia bure wamekuwa wengi.


Nami ni maskini na mhitaji, Ee Mungu, unijilie kwa haraka. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee BWANA, usikawie.


Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili niseme mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo