Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:85 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

85 Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

85 Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, watu ambao hawafuati sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

85 Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, watu ambao hawafuati sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

85 Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, watu ambao hawafuati sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

85 Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

85 Wenye majivuno wananichimbia mashimo, kinyume na sheria yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:85
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Mguu wa kiburi usinikaribie, Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.


Amechimba shimo, amelichimba chini sana, Akatumbukia katika handaki aliyoichimba!


Mtu asiyefaa kitu huchimba shimo la madhara; Katika midomo yake mna moto uteketezao.


Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili niseme mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.


Kilio na kisikiwe kitokacho katika nyumba zao, hapo utakapoleta kikosi juu yao kwa ghafla; kwa maana wamenichimbia shimo waninase, nao wameifichia miguu yangu mitego.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo