Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:83 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

83 Maana nimekuwa kama kiriba katika moshi, Sikuzisahau amri zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

83 Nimekunjamana kama kiriba katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

83 Nimekunjamana kama kiriba katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

83 Nimekunjamana kama kiriba katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

83 Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

83 Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi, bado sijasahau maagizo yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:83
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa joto.


Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.


Japo kamba za wasio haki zimenifunga, Siisahau sheria yako.


Nguvu zangu zimekauka kama gae, Ulimi wangu waambatana na taya zangu; Unaniweka katika mavumbi ya mauti


Tufuate:

Matangazo


Matangazo