Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:82 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

82 Macho yangu yamefifia kwa kuitazamia ahadi yako, Nikisema, Lini utakaponifariji?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

82 Macho yangu yanafifia nikingojea ulichoahidi. Nauliza: “Utakuja lini kunifariji?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

82 Macho yangu yanafifia nikingojea ulichoahidi. Nauliza: “Utakuja lini kunifariji?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

82 Macho yangu yanafifia nikingojea ulichoahidi. Nauliza: “Utakuja lini kunifariji?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

82 Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifariji lini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

82 Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako; ninasema, “Utanifajiri lini?”

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:82
8 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yanafifia kwa kuungojea wokovu wako, Na kutimizwa kwa ahadi yako ya haki.


Nimechoka kwa kulia kwangu, Koo yangu imekauka. Macho yangu yamedhoofika Kwa kumngoja Mungu wangu.


Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, BWANA, Umenisaidia na kunifariji.


Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.


Nilisema, Sitamwona BWANA, yeye BWANA, katika nchi ya walio hai; Sitamwona mwanadamu tena pamoja na hao wakaao duniani.


Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.


Wanao na binti zako litapewa taifa lingine, na macho yako yataangalia, na kuzimia kwa kuwatamani mchana kutwa; wala hapatakuwa na kitu katika uwezo wa mkono wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo