Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:73 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

73 Mikono yako iliniumba na kunidhibiti, Unifahamishe nikajifunze amri zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

73 Mikono yako iliniumba na kuniunda; unijalie akili nijifunze amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

73 Mikono yako iliniumba na kuniunda; unijalie akili nijifunze amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

73 Mikono yako iliniumba na kuniunda; unijalie akili nijifunze amri zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

73 Mikono yako iliniumba na kunitengeneza, nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

73 Mikono yako ilinifanya na kuniumba, nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:73
17 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA na akupe busara na akili, akakuagizie juu ya Israeli; ili uishike Torati ya BWANA, Mungu wako.


Hiramu akasema tena, Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, aliyezifanya mbingu na nchi, ambaye amempa mfalme Daudi mwana wa hekima, mwenye busara na akili, ili amjengee BWANA nyumba, na kasri kwa ufalme wake.


Je! Huyo aliyenifanya mimi ndani ya tumbo, siye aliyemfanya na yeye? Si yeye mmoja aliyetufinyanga tumboni?


Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu.


Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe, Nipate kuzijua shuhuda zako.


Haki ya shuhuda zako ni ya milele, Unifahamishe, nami nitaishi.


Ee BWANA, kilio changu na kikufikie, Unifahamishe sawasawa na neno lako.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


BWANA atanitimizia malengo yake kwangu; Ee BWANA, fadhili zako ni za milele; Usiiache kazi ya mikono yako.


Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba.


Yatafakari sana hayo nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo yote.


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo