Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:70 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

70 Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

70 Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

70 Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

70 Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

70 Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

70 Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:70
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam, sheria yako imo moyoni mwangu.


Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa, Na masikio yao ni mazito ya kusikia, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo