Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:62 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

62 Usiku wa manane nitaamka nikushukuru, Kwa sababu ya hukumu zako za haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

62 Usiku wa manane naamka kukusifu, kwa sababu ya maagizo yako maadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

62 Usiku wa manane naamka kukusifu, kwa sababu ya maagizo yako maadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

62 Usiku wa manane naamka kukusifu, kwa sababu ya maagizo yako maadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

62 Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

62 Usiku wa manane ninaamka kukushukuru kwa sababu ya sheria zako za haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:62
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nimeapa nami nikathibitisha, Kuzishika hukumu zako za haki.


Ee BWANA, Wewe ndiwe mwenye haki, Na hukumu zako ni za adili.


Naamka kabla ya mapambazuko na kukuomba msaada, Naweka tumaini langu katika maneno yako.


Mara saba kila siku nakusifu, Kwa sababu ya hukumu za haki yako.


Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo, Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako.


Najua ya kuwa hukumu zako ni za haki, Ee BWANA, na kwa uaminifu umenitesa.


Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.


Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.


Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.


Lakini ilipokuwa karibu usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo