Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:58 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

58 Nimekuomba radhi kwa moyo wangu wote, Unifadhili kulingana na ahadi yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Naomba radhi yako kwa moyo wangu wote; unionee huruma kama ulivyoahidi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Naomba radhi yako kwa moyo wangu wote; unionee huruma kama ulivyoahidi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Naomba radhi yako kwa moyo wangu wote; unionee huruma kama ulivyoahidi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote, nihurumie sawasawa na ahadi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote, nihurumie sawasawa na ahadi yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:58
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akajibu, akamwambia yule mtu wa Mungu, Umsihi sasa BWANA, Mungu wako, ukaniombee, ili nirudishiwe mkono wangu tena. Yule mtu wa Mungu akamwomba BWANA mkono wa mfalme ukarudishwa tena, ukawa kama ulivyokuwa kwanza.


Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.


Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


Nimeita kwa moyo wangu wote; Ee BWANA, uitike; Nitazishika amri zako.


Dua yangu na ifike mbele zako, Uniponye sawasawa na ahadi yako.


Ee BWANA, fadhili zako zinifikie na mimi, Naam, wokovu wako kulingana na ahadi yako.


Umemtendea mtumishi wako mema, Ee BWANA, sawasawa na neno lako.


Nakuomba, fadhili zako ziwe faraja kwangu, Kulingana na ahadi yako kwa mtumishi wako.


Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, Nitalishukuru jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako, na jina lako juu ya vyote.


Uliposema, “Nitafuteni uso wangu,” Moyo wangu umekuambia, BWANA, uso wako nitautafuta.


Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.


Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake. Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.


Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake. Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwenye mwili atanitenda nini?


Wala hawakunililia kwa moyo, lakini wanalalamika vitandani mwao; hujikutanisha ili kupata nafaka na divai; huniasi mimi.


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo