Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:57 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

57 BWANA ndiye aliye fungu langu, Ninaahidi kuyatii maneno yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ndiwe riziki yangu kuu; naahidi kushika maneno yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ndiwe riziki yangu kuu; naahidi kushika maneno yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ndiwe riziki yangu kuu; naahidi kushika maneno yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 Ee Mwenyezi Mungu, wewe ni fungu langu, nimeahidi kuyatii maneno yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 Ee bwana, wewe ni fungu langu, nimeahidi kuyatii maneno yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:57
16 Marejeleo ya Msalaba  

Nimeapa nami nikathibitisha, Kuzishika hukumu zako za haki.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Heri wazitiio shuhuda zake, Wamtafutao kwa moyo wote.


BWANA, nimekuita nikasema, Ndiwe kimbilio langu, Fungu langu katika nchi ya walio hai.


BWANA ndiye fungu la posho langu, Na la kikombe changu; Wewe unayaamua maisha yangu.


Ambazo midomo yangu ilizinena; Kinywa changu kikazisema nilipokuwa taabuni.


Mwili wangu na moyo wangu hupunguka, Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu Na sehemu yangu milele.


Yeye, Fungu la Yakobo, siye kama hawa; Maana ndiye aliyeviumba vitu vyote; Na Israeli ni kabila la urithi wake; BWANA wa majeshi ndilo jina lake.


BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, Kwa hiyo nitamtumaini yeye.


Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; BWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.


Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.


BWANA ndiye aliyewafukuza watu wa mataifa yote watoke mbele yetu, naam, Waamori waliokaa katika nchi hii; basi, kwa sababu hiyo sisi nasi tutamtumikia BWANA, maana yeye ndiye Mungu wetu.


Lakini hao watu wakamwambia Yoshua, La! Lakini tutamtumikia BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo