Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Nami nitamjibu neno anilaumuye, Kwa maana nilitumainia neno lako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Hapo nitaweza kuwajibu hao wanaonitukana, maana mimi nina imani sana na neno lako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Hapo nitaweza kuwajibu hao wanaonitukana, maana mimi nina imani sana na neno lako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Hapo nitaweza kuwajibu hao wanaonitukana, maana mimi nina imani sana na neno lako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki, kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:42
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimekuwa wa kudharauliwa na watu, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.


Likumbuke neno ulilomwambia mtumishi wako, Ambalo kwalo umenipa tumaini.


Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelitumainia neno lako.


Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake. Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwenye mwili atanitenda nini?


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


wakasema, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa angali hai, Baada ya siku tatu nitafufuka.


Basi, wanaume, changamkeni; kwa sababu namwamini Mungu, ya kwamba yatakuwa vile vile kama nilivyoambiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo