Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Iliyo ya wanaokucha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:38
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa, Ee Mungu wa Israeli, nakusihi, ulithibitishe neno lako, ulilomwambia mtumishi wako, Daudi, baba yangu.


Maana, kama mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, Ndivyo fadhili zake zilivyo kuu kwa wamchao.


Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Unitetee na kunikomboa, Unihuishe sawasawa na ahadi yako.


Likumbuke neno ulilomwambia mtumishi wako, Ambalo kwalo umenipa tumaini.


Hii ndiyo faraja yangu katika taabu yangu, Ya kwamba ahadi yako imenipa moyo.


Nakuomba, fadhili zako ziwe faraja kwangu, Kulingana na ahadi yako kwa mtumishi wako.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo