Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Naam, hawakutenda ubatili, Wamekwenda katika njia zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 watu wasiotenda uovu kamwe, bali daima hufuata njia zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 watu wasiotenda uovu kamwe, bali daima hufuata njia zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 watu wasiotenda uovu kamwe, bali daima hufuata njia zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kama wakisikia na kumtumikia, Watapisha siku zao katika kufanikiwa, Na miaka yao katika furaha.


lakini niliwaamuru neno hili, nikisema, Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu; mkaende katika njia ile yote nitakayowaamuru mpate kufanikiwa.


tena ikiwa ameuzuia mkono wake asimwonee maskini, wala hakupokea faida na ziada, naye amezifanya hukumu zangu, na kuzifuata sheria zangu; hatakufa huyu kwa sababu ya uovu wa baba yake, hakika ataishi.


Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.


Tunajua ya kuwa kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi; bali yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hamgusi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo