Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Nafsi yangu imegandamia mavumbini, Unihuishe sawasawa na neno lako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Nagaagaa chini mavumbini; unipe tena uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Nimelazwa chini mavumbini, yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Nimelazwa chini mavumbini, yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:25
22 Marejeleo ya Msalaba  

Nimeteswa mno; Ee BWANA, unihuishe sawasawa na neno lako.


Kwa fadhili zako uisikie sauti yangu, Ee BWANA, uniokoe.


Ee BWANA, rehema zako ni nyingi, Unihuishe sawasawa na hukumu zako.


Uangalie niyapendavyo mausia yako, Ee BWANA, unihuishe sawasawa na fadhili zako.


Unigeuze macho yangu nisitazame visivyofaa, Unihuishe katika njia yako.


Tazama, nimeyatamani mausia yako, Unihuishe kwa haki yako.


Uniponye kwa fadhili zako, Nami nitazishika shuhuda za kinywa chako.


Hata milele sitayasahau maagizo yako, Maana kwa hayo umenihuisha.


Ee BWANA, uniponye kwa ajili ya jina lako, Kwa haki yako unitoe roho yangu taabuni;


Nguvu zangu zimekauka kama gae, Ulimi wangu waambatana na taya zangu; Unaniweka katika mavumbi ya mauti


Maana nafsi yetu imeinama mavumbini, Tumbo letu limegandamana na nchi.


Uinuke, uwe msaada wetu, Utukomboe kwa ajili ya fadhili zako.


Wewe, uliyetuonesha mateso mengi, mabaya, Utatuhuisha tena. Utatupandisha juu tena Kutoka katika vina virefu chini ya nchi.


Kisha hatutakuacha kwa kurudi nyuma; Utuhuishe nasi tutaliitia jina lako.


Mbwamwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; na mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka. Hawatadhuru wala kuharibu katika mlima wangu mtakatifu wote, asema BWANA.


Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.


BWANA, Mungu wako, atautahiri moyo wako, na moyo wa uzao wako, ili umpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, upate kuwa hai.


mwisho wao ni uharibifu, mungu wao ni tumbo, utukufu wao uko katika fedheha yao, waniao mambo ya duniani.


Yafikirini yaliyo juu, siyo yaliyo katika nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo