Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Wakuu nao waliketi wakaninena, Lakini mtumishi wako atazitafakari amri zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hata kama wakuu wanakula njama dhidi yangu; mimi mtumishi wako nitayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hata kama wakuu wanakula njama dhidi yangu; mimi mtumishi wako nitayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hata kama wakuu wanakula njama dhidi yangu; mimi mtumishi wako nitayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nitayatafakari maagizo yako, Na kuziangalia njia zako.


Wakuu wameniudhi bure, Ila moyo wangu unakaa kwa kicho cha maneno yako.


Kulipokucha, walikutanika jamii ya wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, wakamleta katika baraza yao, wakisema,


Maana wakati mwana wa Yese akiwa hai juu ya nchi, wewe hutafanikiwa, wala ufalme wako. Basi, sasa nenda, ukamlete kwangu, maana hakika yake atakufa huyu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo