Zaburi 119:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Uniondolee laumu na dharau, Kwa maana nimezishika shuhuda zako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Uniepushe na matusi na madharau yao, maana nimeyazingatia maamuzi yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Uniepushe na matusi na madharau yao, maana nimeyazingatia maamuzi yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Uniepushe na matusi na madharau yao, maana nimeyazingatia maamuzi yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika sheria zako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika sheria zako. Tazama sura |
Naye Daudi aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, alisema, Na ahimidiwe BWANA ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali BWANA amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.