Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Mimi ni mgeni katika nchi, Usinifiche maagizo yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mimi ni mkimbizi tu hapa duniani; usinifiche amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mimi ni mkimbizi tu hapa duniani; usinifiche amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mimi ni mkimbizi tu hapa duniani; usinifiche amri zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mimi ni mgeni duniani, usinifiche amri zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mimi ni mgeni duniani, usinifiche amri zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:19
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Kwani sisi tu wageni na wapitaji mbele zako, kama walivyokuwa baba zetu wote; siku zetu duniani ni kama kivuli, na hakuna tumaini la kuishi.


Kwa sababu Mungu amemnyima akili, Wala hakumpa fahamu.


Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


Ee BWANA, usikie maombi yangu, Utege sikio lako niliapo, Usiyapuuze machozi yangu. Kwa maana mimi ni mgeni wako, Msafiri kama baba zangu wote.


Uache kunitazama, ndio nipate kufurahi tena, Kabla sijafa na kutoweka kabisa.


Ee BWANA, mbona umetukosesha njia zako, ukatufanya kuwa na mioyo migumu hata tusikuogope? Urudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya urithi wako.


Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.


Lakini hawakulifahamu neno lile, likafichwa kwao wasilitambue; wakaogopa kumwuliza maana yake neno lile.


Basi siku zote tuna moyo mkuu; tena twajua ya kuwa, wakati tuwapo hapa katika mwili, tunakaa mbali na Bwana.


Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo