Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:172 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

172 Ulimi wangu na uiimbe ahadi yako, Maana maagizo yako yote ni ya haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

172 Nitaimba juu ya neno lako, maana amri zako zote ni za haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

172 Nitaimba juu ya neno lako, maana amri zako zote ni za haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

172 Nitaimba juu ya neno lako, maana amri zako zote ni za haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

172 Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

172 Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako, kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:172
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


Umeziagiza shuhuda zako kwa haki, Na kwa uaminifu mwingi.


Haki yako ni haki ya milele, Na sheria yako ni kweli.


Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu.


Amri zako zote ni za kudumu, Ninateswa bila sababu, nisaidie!


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Hayo hatutawaficha wana wao, Huku tukiwaambia kizazi kingine, Sifa za BWANA, na nguvu zake, Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo