Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:166 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

166 Ee BWANA, nimeungojea wokovu wako, Na maagizo yako nimeyatenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

166 Ee Mwenyezi-Mungu, nakungojea uniokoe; mimi natimiza amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

166 Ee Mwenyezi-Mungu, nakungojea uniokoe; mimi natimiza amri zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

166 Ee Mwenyezi-Mungu, nakungojea uniokoe; mimi natimiza amri zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

166 Ee Mwenyezi Mungu, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

166 Ee bwana, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:166
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wokovu wako nimeungoja, Ee BWANA.


Ee BWANA, nimeutamani wokovu wako, Na sheria yako ndiyo furaha yangu.


Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA.


Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonesha wokovu wa Mungu.


Ni vema mtu autarajie wokovu wa BWANA Na kumngojea kwa utulivu.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo