Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:163 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

163 Nimeuchukia uongo, umenikirihi, Sheria yako nimeipenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

163 Nachukia kabisa uongo, lakini naipenda sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

163 Nachukia kabisa uongo, lakini naipenda sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

163 Nachukia kabisa uongo, lakini naipenda sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

163 Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

163 Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:163
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Watu wa kusitasita nawachukia, Lakini sheria yako naipenda.


Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Uniondolee njia ya uongo, Unineemeshe kwa sheria yako.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo