Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:162 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

162 Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

162 Nafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mtu aliyekuta kitu cha thamani kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

162 Nafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mtu aliyekuta kitu cha thamani kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

162 Nafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mtu aliyekuta kitu cha thamani kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

162 Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

162 Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:162
7 Marejeleo ya Msalaba  

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.


Umeliongeza taifa, umezidisha furaha yao; Wanafurahi mbele zako, Kama furaha ya wakati wa mavuno, Kama watu wafurahivyo wagawanyapo nyara.


Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.


Na hapo alipokuwa amewaongoza chini, tazama, hao walikuwa wametawanyika juu ya nchi yote, wakila na kunywa, na kufanya karamu, kwa sababu ya hizo nyara kubwa walizochukua katika nchi ya Wafilisti, na katika nchi ya Yuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo