Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:157 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

157 Wanaonifuatia na watesi wangu ni wengi, Lakini mimi sikiuki shuhuda zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

157 Maadui na wadhalimu wangu ni wengi, lakini mimi sikiuki maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

157 Maadui na wadhalimu wangu ni wengi, lakini mimi sikiuki maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

157 Maadui na wadhalimu wangu ni wengi, lakini mimi sikiuki maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

157 Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

157 Adui wanaonitesa ni wengi, lakini mimi sitaziacha sheria zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:157
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Mguu wangu umeshikamana sana na hatua zake; Njia yake nimeishika, wala sikukengeuka.


Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sitoki katika njia ya mausia yako.


Wenye kiburi wamenidharau mno, Lakini sikiuki sheria zako.


Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;


Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


Uwatazame adui zangu, maana ni wengi, Na kwa namna wanavyonichukia kwa ukatili mwingi.


Haya yote yametupata, bali hatukukusahau, Wala hatukulivunja agano lako.


Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana ni wengi wanaonipiga vita.


BWANA, Mungu wangu, nimekukimbilia Wewe, Uniokoe na wote wanaonifuatia, uniponye.


Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.


Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.


Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo