Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:155 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

155 Wokovu u mbali na wasio haki, Kwa maana hawajifunzi amri zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

155 Waovu hawataokolewa kamwe, maana hawajali juu ya masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

155 Waovu hawataokolewa kamwe, maana hawajali juu ya masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

155 Waovu hawataokolewa kamwe, maana hawajali juu ya masharti yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

155 Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

155 Wokovu uko mbali na waovu, kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:155
11 Marejeleo ya Msalaba  

Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Mungu Hatapatiliza. Mawazo yake yote ni, Hakuna Mungu;


Maana Wewe wawaokoa watu wanaoonewa, Na macho ya kiburi utayadhili.


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Nisikilizeni, ninyi mlio na moyo mshupavu, mlio mbali na haki;


Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Sisi sote twanguruma kama dubu; twaomboleza kama hua; twatazamia hukumu ya haki, lakini hapana; na wokovu, lakini u mbali nasi.


Akalia, akasema, Ee baba Abrahamu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, aupoze ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.


Hakuna afahamuye; Hakuna amtafutaye Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo