Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:154 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

154 Unitetee na kunikomboa, Unihuishe sawasawa na ahadi yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

154 Unitetee na kunikomboa; unijalie uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

154 Unitetee na kunikomboa; unijalie uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

154 Unitetee na kunikomboa; unijalie uhai kama ulivyoahidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

154 Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

154 Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe, uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:154
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi ningemtafuta Mungu, Ningemwekea Mungu kesi yangu;


Nafsi yangu imegandamia mavumbini, Unihuishe sawasawa na neno lako.


Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Iliyo ya wanaokucha.


Tazama, nimeyatamani mausia yako, Unihuishe kwa haki yako.


Ee BWANA, uwapinge hao wanaonipinga, Upigane nao wanaopigana nami.


Uamke, uwe macho ili kunipatia hukumu Kwa ajili ya madai yangu, Mungu wangu na Bwana wangu.


Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki.


Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.


Lakini, Ee BWANA wa majeshi, uhukumuye haki, ujaribuye fikira na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.


Mkombozi wao ni hodari; BWANA wa majeshi ndilo jina lake; yeye atawatetea kwa bidii, apate kuistarehesha nchi, na kuwasumbua wakaao katika Babeli.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu.


Nitaivumilia ghadhabu ya BWANA, kwa kuwa nimemwasi; hata atakaponitetea shutuma yangu, na kunifanyia hukumu; atanileta nje kwenye nuru, nami nitaiona haki yake.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Basi BWANA atuamue, akatuhukumu mimi na wewe, akaone, akanitetee neno langu, akaniokoe kutokana na mkono wako.


Ikawa, Daudi alipokwisha kumwambia Sauli maneno hayo Sauli alisema, Hii ndiyo sauti yako, Daudi, mwanangu? Naye Sauli akapaza sauti yake, akalia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo