Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:150 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

150 Wanakaribia wanaonifuatia kwa chuki, Wamekwenda mbali na sheria yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

150 Wale wanaonidhulumu vibaya wanakaribia, hao wako mbali kabisa na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

150 Wale wanaonidhulumu vibaya wanakaribia, hao wako mbali kabisa na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

150 Wale wanaonidhulumu vibaya wanakaribia, hao wako mbali kabisa na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

150 Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

150 Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami, lakini wako mbali na sheria yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:150
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa pelekeni habari upesi, kamwambieni Daudi ya kwamba, Usilale usiku huu karibu na vivuko vya jangwani; bali usikose kuvuka; asije akamezwa mfalme, na watu wote walio pamoja naye.


Walakini walimwambia Mungu. Tuondokee; Kwani hatutaki kuzijua njia zako.


Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.


Maana wewe umechukia maonyo, Na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.


Sisi sote twanguruma kama dubu; twaomboleza kama hua; twatazamia hukumu ya haki, lakini hapana; na wokovu, lakini u mbali nasi.


Na hukumu imegeuka ikaenda nyuma, na haki inasimama mbali sana; maana kweli imeanguka katika njia kuu, na unyofu hauwezi kuingia.


Ndipo Yonathani, mwana wa Sauli, akainuka akamwendea Daudi huko Horeshi, akamtia nguvu mkono wake katika Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo