Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Nitayatafakari maagizo yako, Na kuziangalia njia zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nazitafakari kanuni zako, na kuzizingatia njia zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nazitafakari kanuni zako, na kuzizingatia njia zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nazitafakari kanuni zako, na kuzizingatia njia zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ninatafakari maagizo yako na kuziangalia njia zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akatoka ili kutafakari shambani wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja.


Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.


Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.


Nafunua kinywa changu nikihema, Maana nazitamani amri zako.


Nakaa macho usiku kucha, Ili kuitafakari ahadi yako.


Wakuu nao waliketi wakaninena, Lakini mtumishi wako atazitafakari amri zako.


Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako.


Sheria yako naipenda mno ajabu, Ndiyo kutafakari kwangu mchana kutwa.


Ninazo akili kuliko waalimu wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.


Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo