Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:143 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

143 Taabu na dhiki zimenipata, Maagizo yako ni furaha yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

143 Taabu na huzuni vimenipata, lakini amri zako ndizo furaha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

143 Taabu na huzuni vimenipata, lakini amri zako ndizo furaha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

143 Taabu na huzuni vimenipata, lakini amri zako ndizo furaha yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

143 Shida na dhiki zimenipata, lakini amri zako ni furaha yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

143 Shida na dhiki zimenipata, lakini amri zako ni furaha yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:143
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,


Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Nilipata dhiki na mateso;


Nimeteswa mno; Ee BWANA, unihuishe sawasawa na neno lako.


Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Rehema zako zinijie nipate kuishi, Maana sheria yako ni furaha yangu.


Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo