Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:140 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

140 Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

140 Ahadi yako ni hakika kabisa, nami mtumishi wako naipenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

140 Ahadi yako ni hakika kabisa, nami mtumishi wako naipenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

140 Ahadi yako ni hakika kabisa, nami mtumishi wako naipenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

140 Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

140 Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu, mtumishi wako anazipenda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:140
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Wewe, BWANA, ndiwe utakayetuhifadhi, Utatulinda na kizazi hiki milele.


Mungu, njia yake ni kamilifu, Ahadi ya BWANA imehakikishwa, Yeye ndiye ngao yao. Wote wanaomkimbilia.


Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.


Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu;


Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo