Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nafurahi kufuata maamuzi yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nafurahi kufuata maamuzi yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Nafurahi kufuata maamuzi yako, kuliko kuwa na utajiri mwingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Ninafurahia kufuata sheria zako kama mtu afurahiaye mali nyingi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.


Nami nitajifurahisha sana kwa maagizo yako, Ambayo nimeyapenda.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Rehema zako zinijie nipate kuishi, Maana sheria yako ni furaha yangu.


Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.


Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo