Zaburi 119:132 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC132 Unigeukie na kunirehemu, Kama ilivyo desturi yako kwa walipendalo jina lako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema132 Unigeukie na kunionea huruma, kama uwatendeavyo wanaokupenda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND132 Unigeukie na kunionea huruma, kama uwatendeavyo wanaokupenda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza132 Unigeukie na kunionea huruma, kama uwatendeavyo wanaokupenda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu132 Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote wale wanaolipenda jina lako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu132 Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote wale wanaolipenda jina lako. Tazama sura |