Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:130 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

130 Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

130 Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

130 Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

130 Maelezo ya mafundisho yako huleta mwanga; huwapa akili watu wasiojua kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

130 Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

130 Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru, kunampa mjinga ufahamu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:130
17 Marejeleo ya Msalaba  

Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.


Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, wasiione nuru ya Injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa iangazayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo