Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nitayarudia kwa sauti maagizo yako yote uliyotoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nitayarudia kwa sauti maagizo yako yote uliyotoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nitayarudia kwa sauti maagizo yako yote uliyotoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote zinazotoka katika kinywa chako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.


Ulimi wangu na uiimbe ahadi yako, Maana maagizo yako yote ni ya haki.


Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu.


Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikubandukana nazo.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.


Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.


Enyi wazawa wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.


Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako;


nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo