Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:128 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

128 Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

128 Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

128 Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

128 Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

128 na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

128 na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili, nachukia kila njia potovu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:128
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huimba mbele ya watu, na kusema, Mimi nimefanya dhambi, na kuyapotosha hayo yaliyoelekea, Wala sikulipizwa jambo hilo;


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Umewakataa wote wazikosao amri zako, Kwa maana hila zao ni bure.


Ulimi wangu na uiimbe ahadi yako, Maana maagizo yako yote ni ya haki.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikubandukana nazo.


Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo