Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:125 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

125 Mimi ni mtumishi wako, unifahamishe, Nipate kuzijua shuhuda zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

125 Mimi ni mtumishi wako, unipe maarifa, nipate kujua maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

125 Mimi ni mtumishi wako, unipe maarifa, nipate kujua maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

125 Mimi ni mtumishi wako, unipe maarifa, nipate kujua maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

125 Mimi ni mtumishi wako; nipe busara ili niweze kuelewa sheria zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

125 Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu ili niweze kuelewa sheria zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:125
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Uniondolee njia ya uongo, Unineemeshe kwa sheria yako.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Unifundishe akili na maarifa, Maana nimeyaamini maagizo yako.


Mimi ni wako, uniokoe, Kwa maana nimejifunza mausia yako.


Unielekee na kunifadhili mimi; Mpe mtumishi wako nguvu zako, Umwokoe mwana wa mjakazi wako.


Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.


Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele.


Yatafakari sana hayo nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo yote.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo