Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:122 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

122 Uwe mdhamini wa mtumishi wako, apate mema, Wenye kiburi wasinionee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

122 Uahidi kunisaidia mimi mtumishi wako; usikubali wenye kiburi wanidhulumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

122 Uahidi kunisaidia mimi mtumishi wako; usikubali wenye kiburi wanidhulumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

122 Uahidi kunisaidia mimi mtumishi wako; usikubali wenye kiburi wanidhulumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

122 Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanidhulumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

122 Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:122
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitakuwa mdhamini wake, umtake mkononi mwangu. Nisipomleta tena kwako, na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye hatia mbele yako daima;


Nipe rehani basi, uwe dhamana kwa ajili yangu kwako wewe mwenyewe; Kuna nani atakayeniwekea dhamana?


Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.


Mguu wa kiburi usinikaribie, Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.


Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Niliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee BWANA, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.


basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo