Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:117 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

117 Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

117 Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

117 Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

117 Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

117 Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

117 Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:117
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kulia utanishika.


Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikubandukana nazo.


Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.


Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kulia.


Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo