Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:110 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

110 Watendao uovu wamenitegea mtego, Lakini sitoki katika njia ya mausia yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

110 Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

110 Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

110 Waovu wamenitegea mitego, lakini sikiuki kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

110 Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

110 Waovu wamenitegea mtego, lakini sijayakiuka maagizo yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:110
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.


Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.


Wenye kiburi wamenidharau mno, Lakini sikiuki sheria zako.


Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.


Walikuwa karibu na kunikomesha katika nchi, Lakini sikuyaacha mausia yako.


Wasio haki wameniotea ili kunipoteza, Nitazitafakari shuhuda zako.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


Unilinde kutoka kwa mtego walionitegea, Na kutoka kwa matanzi ya watendao maovu.


Lakini kama kiziwi sisikii, Nami ni kama bubu asiyefumbua kinywa chake.


Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti, Moyo wangu ni thabiti. Nitaimba, nitaimba kwa sauti nzuri,


Kilio na kisikiwe kitokacho katika nyumba zao, hapo utakapoleta kikosi juu yao kwa ghafla; kwa maana wamenichimbia shimo waninase, nao wameifichia miguu yangu mitego.


Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kuelekea Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo