Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:105 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

105 Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwanga katika njia yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

105 Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwanga katika njia yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

105 Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwanga katika njia yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

105 Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

105 Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:105
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo taa yake ilipomulika juu yangu kichwani, Nami nilitembea gizani kwa njia ya mwanga wake;


Kwa kuwa Wewe unaiwasha taa yangu; BWANA Mungu wangu aniangazia giza langu.


Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.


Nitumie nuru yako na kweli yako ziniongoze, Zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu na hata katika maskani yako.


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.


Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa iangazayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo