Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:104 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

104 Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

104 Kwa kanuni zako napata hekima, kwa hiyo nachukia kila mwenendo mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

104 Kwa kanuni zako napata hekima, kwa hiyo nachukia kila mwenendo mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

104 Kwa kanuni zako napata hekima, kwa hiyo nachukia kila mwenendo mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

104 Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

104 Ninapata ufahamu kutoka mausia yako, kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:104
15 Marejeleo ya Msalaba  

Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.


Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.


Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.


Maana nayafuata mausia yako yote, kuwa ya adili, Kila njia ya uongo naichukia.


Nimeuchukia uongo, umenikirihi, Sheria yako nimeipenda.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Maagizo yako hunitia hekima kuliko adui zangu, Kwa maana ninayo sikuzote.


Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; hauchukii ubaya.


Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu; Huwalinda nafsi zao watauwa wake, Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo