Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:100 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

100 Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

100 Nawapita wazee kwa busara yangu, kwa sababu nazishika kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

100 Nawapita wazee kwa busara yangu, kwa sababu nazishika kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

100 Nawapita wazee kwa busara yangu, kwa sababu nazishika kanuni zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

100 Nina ufahamu kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

100 Nina ufahamu zaidi kuliko wazee, kwa kuwa ninayatii mausia yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:100
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.


Kisha akamwambia mwanadamu, Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima, Na kujitenga na uovu ndio ufahamu.


Basi huyo Elihu alikuwa anangoja ili anene na Ayubu, kwa sababu hao wengine walikuwa wazee kuliko yeye.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo