Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 118:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Ni heri kumkimbilia BWANA Kuliko kuwatumainia wanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Afadhali kukimbilia usalama kwa Mwenyezi-Mungu, kuliko kumtumainia mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Afadhali kukimbilia usalama kwa Mwenyezi-Mungu, kuliko kumtumainia mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Afadhali kukimbilia usalama kwa Mwenyezi-Mungu, kuliko kumtumainia mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ni bora kumkimbilia Mwenyezi Mungu kuliko kumtumainia mwanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ni bora kumkimbilia bwana kuliko kumtumainia mwanadamu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwuliza, Nikupe nini? Yakobo akasema, Usinipe kitu; ukinifanyia neno hili, nitalisha wanyama wako tena na kuwalinda.


Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.


Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo