Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 118:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Wamchao BWANA na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wote wanaomcha Mwenyezi Mungu na waseme sasa: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wote wamchao bwana na waseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Enyi Israeli, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Ninyi mnaomcha BWANA, msifuni, Enyi nyote mlio wazawa wa Yakobo, mtukuzeni, Mcheni, enyi nyote mlio wazawa wa Israeli.


Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo