Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 118:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mshukuruni Mwenyezi Mungu kwa kuwa ni mwema; fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mshukuruni bwana kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:29
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaimbiana, wakimhimidi BWANA, na kumshukuru, wakasema, Kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake kwa Israeli ni za milele. Kisha watu wote wakapaza sauti zao, na kupiga kelele, walipomhimidi BWANA, kwa sababu msingi wa nyumba ya BWANA umekwisha kuwekwa.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Wamchao BWANA na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.


Nitautaja wema wa BWANA, sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israeli, aliowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo