Zaburi 118:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Na abarikiwe yeye ajaye kwa jina la BWANA; Tumewabariki toka nyumbani mwa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Mwenyezi-Mungu! Twawabariki kutoka nyumbani mwa Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Mwenyezi-Mungu! Twawabariki kutoka nyumbani mwa Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Mwenyezi-Mungu! Twawabariki kutoka nyumbani mwa Mwenyezi-Mungu Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Heri yule ajaye kwa jina la Mwenyezi Mungu. Kutoka nyumba ya Mwenyezi Mungu tunakubariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Heri yule ajaye kwa jina la bwana. Kutoka nyumba ya bwana tunakubariki. Tazama sura |