Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 118:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA, Tutashangilia na kuifurahia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hii ndiyo siku aliyoifanya Mwenyezi-Mungu; tushangilie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hii ndiyo siku aliyoifanya Mwenyezi-Mungu; tushangilie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hii ndiyo siku aliyoifanya Mwenyezi-Mungu; tushangilie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Hii ndiyo siku Mwenyezi Mungu aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Hii ndiyo siku bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku ya nane akaagana na watu, nao wakambarikia mfalme, wakaenda hemani kwao, wakifurahi na kuchangamka moyoni kwa wema wote BWANA aliomfanyia Daudi mtumishi wake, na Israeli watu wake.


Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


Kama ukigeuza mguu wako usiivunje sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya BWANA yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe;


Maana, litazame jiwe hili nililoliweka mbele ya Yoshua; katika jiwe moja ziko nyuso saba; tazama, nitachonga maandishi yake, asema BWANA wa majeshi, nami nitauondoa uovu wa nchi hii katika siku moja.


Siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate, Paulo akawahutubia, maana aliazimia kusafiri siku iliyofuata, naye akafululiza maneno yake hadi usiku wa manane.


Nilikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo