Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 118:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mwenyezi Mungu ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.


Tazameni, enyi mnaodharau, kastaajabuni, mkatoweke; kwa kuwa natenda kazi mimi siku zenu, kazi ambayo msingeisadiki kabisa, ijapo mtu akiwasimulia sana.


Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo