Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 118:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Jiwe walilolikataa waashi Limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Jiwe walilokataa waashi, limekuwa jiwe kuu la msingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Jiwe walilokataa waashi, limekuwa jiwe kuu la msingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Jiwe walilokataa waashi, limekuwa jiwe kuu la msingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Tazama sura Nakili




Zaburi 118:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.


Nani wewe, Ee mlima mkubwa? Mbele ya Zerubabeli utakuwa nchi tambarare; naye atalileta lile jiwe la kuwekwa juu kabisa pamoja na vigelegele vya, Neema, neema, ilikalie.


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni la ajabu machoni petu?


Akawakazia macho akasema, Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni?


Yeye ndiye jiwe lile lililodharauliwa na ninyi waashi, nalo limewekwa kuwa jiwe kuu la pembeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo