Zaburi 118:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Sauti ya furaha na wokovu Imo hemani mwao wenye haki; Mkono wa kulia wa BWANA hutenda makuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Sauti za furaha ya ushindi zasikika hemani mwao waadilifu: “Mkono wa Mwenyezi-Mungu umetenda mambo makuu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Sauti za furaha ya ushindi zasikika hemani mwao waadilifu: “Mkono wa Mwenyezi-Mungu umetenda mambo makuu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Sauti za furaha ya ushindi zasikika hemani mwao waadilifu: “Mkono wa Mwenyezi-Mungu umetenda mambo makuu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Sauti za shangwe na ushindi zinavuma kwenye hema za wenye haki: “Mkono wa kuume wa Mwenyezi Mungu umetenda mambo makuu! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Sauti za shangwe na ushindi zinavuma hemani mwa wenye haki: “Mkono wa kuume wa bwana umetenda mambo makuu! Tazama sura |